Psalms 68:5-6


5 aBaba wa yatima, mtetezi wa wajane,
ni Mungu katika makao yake matakatifu.

6 bMungu huwaweka wapweke katika jamaa,
huwaongoza wafungwa wakiimba,
bali waasi huishi katika nchi kame.

Copyright information for SwhKC